Sasa unaweza kuangalia Channels nyingi duniani zikiwemo na channel za hapa nchini kwetu Tanzania kama vile channel za Azam. Pia kwa wapenzi wa ligi mbalimbali duniani kama vile EPL ,nk. Kuna channel nyingi zilizomo zinazoweza kuonyesha mpira kama vile Skysport(zote),BT sports(zote),ESPN,Supersports(zote) na nyinginezo nyingi.
Vitu vinavyohitajika ili uweze kuangalia hizi channels.
1.lazima uwe na application ya Live stream bonyeza hapa kudownload .
2.lazima uwe na data za internet(bundles)
3.uwe kwenye network nzuri (3G,4G,WiFi)
Jinsi ya kutumia hiyo application
1. Baada ya kudownload hiyo application install na uifungue kunza kwa matumizi yake.
2.Upande wa kulia wa hiyo application utaona Sehemu ya kutafutia channel bonyeza na andika channel uitakayo kisha bonyeza ianze kuatafuta hiyo channel
Vitu vinavyohitajika ili uweze kuangalia hizi channels.
1.lazima uwe na application ya Live stream bonyeza hapa kudownload .
2.lazima uwe na data za internet(bundles)
3.uwe kwenye network nzuri (3G,4G,WiFi)
Jinsi ya kutumia hiyo application
1. Baada ya kudownload hiyo application install na uifungue kunza kwa matumizi yake.
2.Upande wa kulia wa hiyo application utaona Sehemu ya kutafutia channel bonyeza na andika channel uitakayo kisha bonyeza ianze kuatafuta hiyo channel
Baada ya hapo zitakuja channels nyingi .bonyeza unayoitaka.kisha itakudirect kwenye machaguo mengi kama vile Play,Record,nk. Bonyexa Play kwakua unataka kuangalia..






