Saturday, November 12, 2016

JINSI YA KUONDOA ROOTING KWENYE SIMU YAKO( UNROOT)

 jinsi ya kuondoa Rooting access katika Simu/kifaa ya/cha android iliyokuwa rooted. Lakini kumbuka unaweza Root kifaa chako cha android kwa kutumia application mbalimbali zenye kuweza kufanikisha suala hili. Kwa mfano unaweza tumia  King root,iroot,kingo root(kwa pc pekee) na apps nyingine nyingi japo tulizozizoea ndo hizo.. Leo tutafahamishana jinsi ya juondo rooting katika kifaa chako ikiwa umeshafanya rooting na application yoyote ile.
  Kwanza tuanze na walio root na application ya  Kingroot  kuwa unaweza ku unroot/ kuondoa rooting access kwa kutumia hiyo hiyo  Kingroot . Fuata hatua zifuatazo ili kuondoa  Rooting access

1. Fungua app ya  kingroot  kwenye simu yako na uchague mahali palipo andikwa General Setting



2.Baada ya kuchagua general setting. Chagua mahali palipo andikwa Uninstall Kingroot.

No comments:

Post a Comment